Wapambe wa Mbunge wa Monduli Edward Lowassa hivisasa wanafanya maandamano makubwa nje ya ofisi za CCM hapa makao makuu ya CCM wakipinga Mbunge huyo kuchujwa katika tano bora. Wapambe hao wanaimba nyimbo mbalimbali za kukiponda chama cha Mapinduzi kwa madai kuwa chama hicho sio cha kindugu na pia sio cha kifalme. Kwa namna nyingine hali si shwari hapa mkoani Dodoma ambapo sintofahamu imetawala kuhusiana na Edward Lowassa kukatwa. Bado haijulikana nini hatma ya kikao kinachoendelea hivisasa kwa kuwa wa wajumbe wengi wa napinga Lowassa kuchujwa. Wapambe wa Loawssa wakipinga kukatwa tano bora. FOLLOW INSTAGRAM@lekule86
[via LEKULE]
Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat