Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2247

Tusikubali Kuvurugwa Tuwe Makini Tufanye Maamuzi Sahihi

$
0
0

  Watanzania wameonywa kuwa makini kwa kutokubali kuvurugwa na watu wanaotangaza nia ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, badala yake wafanye maamuzi sahihi kwa kumchagua kiongozi atakayekuwa tayari kulinda rasilimali za nchi na asiye mpenda rushwa.    Kauli hiyo imetolewa na Benard Membe   wakati akitafuta wadhamini  mkoani Ruvuma ambapo wanachama zaidi ya elfu tano walijitokeza kumdhamini.    Aidha aliwaomba  wananchi wachague mtu ambaye  atakuwa na uzalendo wa  nchi na  ambaye atalinda  rasilimali za nchi  na kusimamiapia asiwe penda rushwa.    Mgombea huyo amesema ,iwapo wataridhika kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa   kuongeza  watanzania zaidi ya milioni 45  hawana budi kumchangua.    Katika hatua nyingine mgombea nafasi ya uraisi makongoro Nyerere pia aliwataka watanzania  kuwa makini na wagombea na wawasikilize na badaye wachague mtu ambaye ataweza kulinda chama na masirahi  ya watanzania FOLLOW INSTAGRAM@sosteneslekule

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2247

Trending Articles