Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sterling naenda zangu Man City

Uongozi wa klabu ya Manchester City umekubaliana na Liverpool dili la kumsajili mshambuliaji kutoka nchini England, Raheem Sterling. Kwa mujibu wa kituo cha televisheni cha Sky Sports, viongozi wa...

View Article


Husqvarna Announces Return To Dakar Rally with a two-rider lineup

Since Swedish Husqvarna Motorcycles has come under the umbrella of the Austrian KTM, there has been nothing but bells and whistles for the company…. Visit the link above to read the full story. [via...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Emmanuel Mbasha Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.   Katika shtaka hilo Mbasha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tukio la Kituo cha Polisi Kutekwa: Viongozi Wa Dini Wacharuka…….Wamtaka Rais...

VIONGOZI mbalimbali wa dini nchini wameandaa maandamano  kwa lengo la kumuona Rais jakaya kikwete ili kumuomba alifanyie mabadiliko makubwa Jeshi Polisi. Mabadiliko hayo ni pamoja  na kubadili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti ACT-Wazalendo Azomewa Ukerewe

KATIBU  wa  Chama  cha  ACT- Wazalendo  Mkoa wa  Mwanza,  Robart  Gwanchele, juzi alijikuta katika  wakati  mgumu baada ya wananchi   kumzomea  wakati  akihutubia  mkutano wa  hadhara  mjini Nansio....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC Yatangaza Mjimbo Mapya 26 ya Uchaguzi

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.   Akizungumza na waandishi wa habari leo,...

View Article

Guy Martin To Attempt The Land Speed Record Aboard The Triumph Rocket III...

Road racer known for his appearance at the Isle of man TT aboard the Tyco BMW S 1000 RR as well as being a quirky TV show host, British racer Guy… Visit the link above to read the full story. [via...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Buhari awatimua kazi wakuu kadhaa wa kijeshi Nigeria.

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari,amewafuta kazi wakuu wa jeshi la angani,wanamaji na nchi kavu. Inaaminika kuwa rais huyo mpya wa Nigeria amewatimua maafisa hao wakuu jeshini kwa ‘kushindwa’...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA kuvunjika? naibu katibu mkuu CUF kaandika mtazamo wake

Tangu juzi kumekuwapo na tetesi kuwa vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, huenda umoja huu ukasambaratika kwa kile kinachoelezwa kutokukubaliana kwa mgawanyo sawa wa majimbo kuelekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magufuli Atambulishwa Zanzibar……..Aahidi Kufuata Nyayo za Nyerere na Karume

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema endapo akifanikiwa kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania, ataongoza nchi kwa kufuata nyayo za waasisi wa Taifa, Baba wa Taifa, hayati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Madereva Wapanga Kugoma Tena

MADEREVA nchini wametishia kufanya mgomo kwa mara nyingine kuanzia wiki ijayo na kwa muda usiojulikana iwapo serikali kupitia kamati iliyoundwa kushughulikia matatizo yao haitawaita na kuongea nao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

.Bosi wa Kampuni ya UDA Kukamatwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, Robert Kisena na mwenzake kwa kuwa hawajafika mahakamani kusomewa mashitaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chadema yapangua ratiba fomu za ubunge, udiwani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kupangua ratiba ya awali ya uchukuaji fomu za ubunge na udiwani kwa wanachama wake, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msako wa ‘Magaidi’ Yaliyovamia Kituo Cha Polisi Stakishari Washika Kasi

SIKU moja baada ya jeshi la polisi kuwaaga kwa heshima za kijeshi askari wake wawili kati ya wanne waliouawa wakiwa kazini katika kituo cha Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam, jeshi hilo limeongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi ), Moses Machali Ajiunga na Chama cha...

Baada ya tetesi za muda mrefu, hatimaye Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi ), Moses Machali amejiunga na Chama cha ACT – Wazalendo. Naibu Katibu Mkuu wa ACT – Wazalendo, Msafiri Mtemelwa alisema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa KUKATWA: Nape Amjibu Kingunge…….Amtaka Afanye Lolote Analotaka

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka mwanasiasa mkongwe, Kingunge-Ngombale Mwiru kufanya anachotaka kufanya. Juzi Kingunge alijitokeza hadharani na kuzungumzia na waandishi wa habari huku akiwaambia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Aunt Ezekiel Awatibua Waislam

Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye jina lake la Kiislam baada ya kubadili dini ni Rahma, hivi karibuni alifanya maulidi ya kumtoa mwanaye Cookie lakini katika hali ya kushangaza alifanya mambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msanii Ester Kiama Amwaga Machozi baada ya Kudaiwa ana UKIMWI

Msanii anayekuja kwa kasi katika anga la filamu, Ester Kiama amejikuta akiangua kilio kufuatia madai yanayoenezwa kuwa ana ‘ngoma’. Taarifa ya ‘kuungua’ kwa staa huyo zimekuwa zikisambaa kama moto wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kendrick Lamar – Alright

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema amwangukia Kajala, ataka wamalize tofauti

Msanii wa filamu nchini na Mkurugenzi wa Endless Fame Production, Wema Sepetu, amedai kuwa yupo tayari kumaliza bifu lake na msanii mwenzake Kajala Masanja, baada ya kutokuwa katika maelewano mazuri...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live


Latest Images