Embedded PID Temperature Control, Part 6: Ziegler–Nichols Tuning
In this article we will use a simple, proven tuning procedure to find effective values for proportional, integral, and derivative gain. Supporting Information This project makes use of a...
View Article5 Reasons to Get Hyped About IBM’s Watson IoT
Here are five reasons why you should be nerding out about IBM’s Watson IoT. It seems that every company has frantically set about developing its own IoT platform, so it came as no surprise that IBM...
View ArticleWaziri Mkuu Awapongeza Lulu na Richie kwa Kunyakua Tuzo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imefarijaka kwa ushindi wa wasanii wa filamu nchini walioshinda tuzo za filamu Afrika za mwaka 2016(African Magic Viewers Choice Award) ziliyofanyika...
View ArticleKilichotokea CRDB Mbagala Jijini Dar leo karibu na benki iliyovamiwa na...
NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said POLISI wamelazimika kufyatua mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu waliojikusanya mbele ya Benki ya CRDB tawi la Mbagala – Rangi Tatu, baada ya mtu mmoja aliyekuwa...
View ArticleMwanafunzi auawa kwa ugomvi wa chaja ya simu
Watu wawili wamefariki dunia mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti likiwemo la mwanafunzi wa chuo cha serikali za mitaa Hombolo, Basil Msabila (24) kuuawa kwa kupigwa na chuma kichwani na...
View ArticleYamaha’s Latest Cafe Racer Inspires From 80’s Styling
‘Yamaha Yard Built’ project has been the one of the best intermediates in between the world of talented custom builders and the ones who… Visit the link above to read the full story. [via ColumnM]...
View ArticleThe Weekend Gear Rundown. March 12, 2016
Every weekend, we bring you the coolest stuff that we stumbled across the entire week over the internet and collate it all into one tasty collection… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleLunacy And Style Come Together In This BMW G650 Cafe Racer
Hyde Designs, is a small shop with a bunch of friends willing to build beautiful motorcycles, keeping craft and attention to detail in mind…. Visit the link above to read the full story. [via ColumnM]...
View ArticleSamatta kaiongoza KRC Genk katika ushindi wa goli 4-1,
Kwa mara ya kwanza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambayo inaongozwa na kocha lakini inachezewa na nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta, imempa nafasi ya kuanza katika mchezo wa leo...
View ArticleTAKUKURU Yaanza Kuchunguza Jinsi Waziri Lukuvi alivyokataa Rushwa ya Bilioni 5
Takukuru imeanza kuchunguza taarifa kwamba Waziri wa Ardhi, William Lukuvi alikataa kupokea rushwa ya Sh5 bilioni iliyotaka kutolewa na wafanyabiashara wawili wakubwa ili kuwapitishia mradi wa Sh84...
View ArticleMagazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 14 2016 kwenye, Udaku, hardnews...
March 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. kinachonifikia . [via...
View ArticlePicha 4: Basi la abiria lililopata ajali likiwa limebakiza dakika 15 kuingia...
March 13 2016 usiku wa saa moja kumetokea ajali ya basi la Leina Tours lililoanguka maeneo ya Kimara Bucha, Dar es salaam na taarifa rasmi zinasema lilikua likitokea Kahama Shinyanga kuja Dar es...
View ArticleHuduma ya usafiri wa Reli ya Kati Yaanza Rasmi
Huduma ya usafiri wa reli ya Kati iliyokuwa imesimama kwa takribani miezi miwili sasa imerejea kufuatia kukamilika kwa ukarabati wa reli hiyo katika eneo la kidete wilayani kilosa, mkoani...
View ArticleWaziri Mkuu Kassim Majaliwa Ataka usafirishaji Haramu wa Madini Udhibitiwe
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameitaka wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera kudhibiti usafirishaji haramu wa madini ya bati, akieleza kuwa yuko mwanamke ambaye si rais wa Tanzania anayesafirisha kinyume cha...
View ArticleJWTZ Wamuokoa Daktari Aliyesusiwa Maiti na Wananchi Wakimtuhumu Kusababisha...
Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kambi ya Ikola wamelazimika kulinda nyumba ya mganga wa Zahanati ya Kapalamsenga iliyopo Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya wanakijiji kupanga...
View ArticleSerikali Yatenga Bilioni 811 Zitakazotumika Kutekeleza Ahadi ya Rais Magufuli...
Serikali imetenga jumla ya Sh bilioni 811 zitakazotumika kutekeleza ahadi ya Rais John Magufuli ya kukipatia kila kijiji Sh milioni 50 kwa ajili ya shughuli za maendeleo. Imeelezwa kwamba serikali...
View ArticleWaziri Mkuu Aishukia Idara Ya Uhamiaji Kwa Kuruhusu Uingizaji Holela wa Wageni
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Bw. Hamad Masauni aimarishe udhibiti katika idara ya uhamiaji kwa kuwasimamia kwa karibu Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Kagera pamoja...
View ArticleLOWASA na MBOWE waongoza mafuriko ya kumtambulisha katibu mkuu mpya wa...
Picha za awali za tambulisho wa Katibu mkuu wa CHADEMA Ndg Dr Vincent Mashinji uliofanyika leo jijini Mwanza mara baada ya hapo jana kuchaguliwa rasmi kuibba mikoba ya ukatibu mkuu wa CHADEMA...
View ArticleZitto Kabwe Ataka Benk Ya Standard Ichunguzwe Upya Kwa Rushwa……Anakuomba...
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, amesema Benki ya Standard inapaswa kuchunguzwa kwa rushwa kuhusu suala la hati fungani ya Dola za Marekani milioni 600. Amesema kwa...
View ArticleKauli Ya Abbas Kandoro Baada Ya Rais Magufuli Kutomchagua Kuwa Mkuu wa Mkoa
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli alitoa orodha ya wakuu wapya wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara. Katika orodha hiyo Rais Magufuli , amewaacha wakuu kadhaa akiwamo...
View Article