Presha ya ubunge CCM yapanda
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza kurudiwa kwa kura za maoni kesho katika majimbo matano nchini, kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza wakati wa mchakato wa upigaji kura hizo. Wakati agizo...
View ArticleWema Sepetu Atia AIBU……Anaswa Akibadilishana ‘MATE’ na Mwanaume Hadharani
Licha ya kudai kwamba skendo za ngono sasa basi, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amekwaa aibu mpya baada ya picha zake kunaswa akiwa na mwanaume mwingine kwa mara nyingine, mwenye...
View ArticleSerikali yasifu maandamano ya Lowassa
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe amesema wamefurahishwa na amani iliyotawala wakati wa maandamano ya kumsindikiza mgombea wa urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward...
View ArticleDk Slaa aikana twitter inayomzushia mazito
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa...
View ArticleSiku ya kimataifa ya vijana duniani yaadhimishwa kwenye viwanja vya Mnazi...
Maandamano yakiongozwa na bendi ya jeshi la polisi A ds by SaveP a s s v 2 .2 Ad O pt i o n s Baadhi ya vijana kutoka shule mbalimbali wakiandamana kuingia katika viwanja vya mnazi mmoja wakati...
View ArticleKampuni ya Tigo yapata tuzo ya maonesho ya Nanenane kitaifa mkoani Lindi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya ushindi wa kwanza ya kipengele cha mawasiliano kwa Meneja wa Mauzo wa Tigo mkoani Lindi, Eric Stephen kwenye...
View ArticleWizara yakanusha kuwepo ebola nchini
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Seif Rashid. Dar es Salaam .Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imefafanua kuwa hakuna uthibitisho kwamba mkimbizi aliyekufa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani...
View ArticleSaid Nkumba ahama CCM, ajiunga Chadema
Mbunge wa Sikonge Said Nkumba akipokea kadi ya Chadema. Mbunge wa Sikonge, CCM, Said Nkumba ametangaza kukihama hicho na kujiunga na Chadema, kwa madai CCM ‘haina mapenzi na watu’. Nkumba anakuwa...
View ArticleWananchi wacharukia ushindi wa Nape Mtama
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye. Lindi. Hali katika Jimbo la Mtama si shwari baada ya kundi la wananchi kufanya maandamano ya kukataa matokeo ya kura za maoni...
View ArticleJK: Wajumbe NEC wana kazi kubwa
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Mrisho Kikwete . Dodoma . Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete jana alifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho huku akikiri...
View ArticleKikwete, Lowassa uso kwa uso
Kutoka kushoto ni Rais Jakaya Kikwete akiwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa. Moshi. Sasa ni dhahiri kuwa mazishi ya mwanasiasa mkongwe nchini, Peter Kisumo yanayofanyika leo...
View ArticleSiku 64 za mtifuano
Baadhi ya wananchi wa Jimbo la Mtama Mkoani Lindi wakimsikiliza aliyekuwa akiwania kuteuliwa na CCM kuwa mgombea wa Ubunge wa Jimbo hilo, Suleiman Mathew aliyeshindwa katika mchakato wa kura za maoni....
View ArticleEnergy Bands of Silicon
Silicon is a kind of semiconductor material whose number of free electrons is less than conductor but more than that of insulator. For having this unique characteristics, silicon has a vast...
View ArticleDiode,Working Principle and Types of Diode
What is a Diode? A diode is a simple electrical device that allows the flow of current only in one direction. So it can be said to act somewhat like a switch. A specific arrangement of diodes can...
View ArticleOp-amp,Working Principle of Op-amp
An operational amplifier or OP-AMP is a DC-coupled voltage amplifier with a very high voltage gain. Op-amp is basically a multistage amplifier in which a number of amplifier stages are interconnected...
View ArticleLight Dependent Resistor | LDR & Working Principle of LDR
What is a Light Dependent Resistor or a Photo Resistor? A Light Dependent Resistor (LDR) or a photo resistor is a device whose resistivity is a function of the incident electromagnetic radiation....
View ArticleJe Madereva watafanya mgomo kesho?, maneno ya naibu katibu yako hapa
Leo Agosti 16 kulikuwa na mkutano wa madereva wa mabasi ulifanyika katika ukumbi wa kimara resort Dar es salaam na kuahamua haya yafuatayo….. kwa mujibu wa Naibu katibu mkuu wa madereva (TADU),...
View ArticleKingunge Ngombale Mwiru Avuliwa Ukamanda wa UVCCM Taifa.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia...
View ArticleBreaking News: Polisi Watumia Mabomu ya Machoz Mwanza Kuwatawanya wafuasi wa...
Muda huu polisi wanapiga mabomu uwanja wa ndege jijini Mwanza kuwatawanya wananchi waliokusanyika kumpokea Lowassa. Mabomu yamepigwa muda mfupi baada ya ndege inayosadikiwa kuwa...
View ArticleRais Kikwete Ahutubia Baraza la Vijana wa CCM ( UVCCM) Jijini Dar
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye Baraza la Vijana wa CCM. Wajumbe wa Baraza la Vijana wa CCM wakimsikiliza kwa makini...
View Article