Having Survived the Hottest July Ever (Thanks, Natural Cooling!)
July 2015 was the hottest July ever since meteorological data had been recorded in Austria ( since 248 years ). We had more than 38°C ambient air temperature at some days; so finally a chance to...
View ArticleIdadi ya mauzo ya soko la Hisa la Dar yashuka
Meneja Miradi na Biashara wa DSE, Patrick Mususa. Na Ally Daud – MAELEZO, Dar Es Salaam IDADI ya mauzo katika soko la hisa la Dar es salaam (DSE) imeshuka kwa asilimia 78 kutoka Tsh. Bilioni 29.8...
View ArticleAnaswa na kombati za komandoo
Kijana Zakaria Joseph akiwa amevalia kombati za jeshi. K IJANA aitwaye Zakaria Joseph 22, (pichani)mkazi wa Maili Moja, Kibaha, mkoani Pwani, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuvaa sare za...
View ArticleHofu yatanda, silaha za kivita kukamatwa
Silaha zilizokamatwa zikioneshwa kwa wandishi wa habari. Na Timu ya Uwazi, Mkuranga H OFU kubwa imetanda kwenye Kijiji cha Mamndi Mkongo kilichopo Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani kufuatia Jeshi la...
View ArticleMirathi nusura imtoe roho!
Masanga Said Bori, anayevuja damu. Boniphace Ngumije na Mayasa Mariwata B ALAA! Mkazi wa Mtaa wa Manyoni, Ilala jijini Dar aliyejulikana kwa jina la Masanga Said Bori (pichani), Jumamosi iliyopita...
View ArticleMgombea Ukawa atumia muda mwingi kutambulisha familia
Mgombea udiwani wa Kata ya Kilakala kwa tiketi ya Chadema , Mapunda Lusewe akitambulisha familia yake jukwaani. Na Dustan Shekidele, Morogoro M GOMBEA udiwani wa Kata ya Kilakala kwa tiketi ya Chama...
View ArticleMasha adai mashtaka dhidi yake ni batili
ALIYEWAHI kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (45) amewasilisha mahakamani pingamizi juu ya kesi inayomkabili ya kutumia lugha ya matusi kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, akisema mashitaka...
View ArticleMagufuli mtegoni….Wananchi Wampokea Kwa Mabango Wakimtaka Amnyang’anye Shamba...
Mgombea urais kwa tiketi ya CCM,Dk. John Magufuli jana alikumbana na mtihani wa kwanza wa wananchi baada ya kupokewa na mabango yenye ujumbe mbalimbali. Miongoni mwa mabango hayo ni lile lililokuwa...
View ArticleKubenea Amuumbua Dr. Slaa Mkutanoni,Kyela Mbeya
Hapa Kubenea akimchanachana Dr Slaa katika mkutano wa hadhara Kyela, Mbeya Amesimulia sakata zima la Richmond kwa kudai kuwa wakati likiwakilishwa bungeni kulikuwa na ripoti...
View ArticleDk Slaa atimkia Marekani, nyumba italindwa na polisi…..Hapa Nimekuwekea...
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Dk. Willibrod Slaa amesema anakwenda Marekani pamoja na familia yake kwa mapumziko. Hata hivyo, taarifa zinasema Dk. Slaa...
View ArticleVIDEO: Gwajima Amlipua Dr Slaa, Atoa ONYO Kwa Usalama wa Taifa……Walinzi,...
Askofu Josephat Gwajima amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu Tuhuma alizopewa na aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa Hapa kuna video 7 za mazungumzo yote ya...
View ArticleMaonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) kurindima Sept 10 hadi 13...
Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China...
View ArticleHuduma ya Tigo Pesa kusitishwa kwaajili ya uboreshaji
Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania itasitisha huduma zake maarufu za kutuma na kupokea fedha ya Tigo Pesa wikendi hii kwa muda wa saa 17 ili kufanya maboresho ya huduma hiyo. Taarifa iliyotumwa kwa...
View ArticleKanisa Katoliki Sasa Kuvunja Ndoa
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis jana alieleza mabadiliko mapya yanayolenga kuwarahisishia Wakatoliki kuvunja ndoa zao na kuoa upya. Dhamira hiyo ni ishara nyingine ya dhamira ya Papa...
View ArticleRatiba ya Lowassa Mtihani kwa Dk. Magufuli.
Ratiba za kampeni za wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaonekana kuchuana vikali, Edward Lowassa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuungwa mkono na vyama...
View ArticleBASATA ladai adhabu kwa Shilole ipo pale pale, yadai inakusanya ushahidi...
Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye. Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey...
View ArticleDiamond atajwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 (MTV EMA)
Diamond Platnumz kwa mara nyingine amepata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye tuzo kubwa za kimataifaa. Ametangazwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 (MTV EMA) katika kipengele cha...
View ArticleNauli ya Mabasi ya Mwendo Kasi Dar Ni Sh. 900.
Ukali zaidi wa maisha kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam unakuja kutokana na viwango vipya vya nauli za magari yaendayo haraka kuwa kati ya Sh. 500 hadi 900 kwa safari moja kwa mtu mzima. Aidha,...
View ArticleMrema: Chadema mbona mnanishambulia, tatizo ni uzee wangu?.
Mwenyekiti Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party TLP, na mgombea Ubunge jimbo la Vunjo Augustino Mrema, amelalamikia kuwa anafanyiwa siasa chafu na wapinzani wake. Akizungumza na waandishi wa...
View ArticleUpdated 2016 KTM 690 Duke Revealed. More Power, Better Electronics
KTM has revealed the pre-production prototype of their upgraded 690 Duke to select motorcycle publications. According to a report by Visordown, the… Visit the link above to read the full story. [via...
View Article