Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi ya Askari Polisi Kuiba silaha, Risasi Yaahirishwa

KESI ya wizi wa silaha aina ya SMG na risasi zake 42 inayomkabili aliyekuwa Konstebo wa Polisi, GX 7274, Hamad Taimu Shilingi (25) katika Mahakama ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeahirishwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baraza kuu la waislamu Tanzania (BAKWATA) lamteua Sheikh Aboubakar Zuberi...

Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) asubuhi ya leo limemteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti Mpya wa muda. Sheikh Zuber atashikilia nafasi hiyo kwa muda wa miezi mitatu (siku 90) kuelekea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape: CCM itashinda tu hata kwa goli la mkono

Sengerema. CCM imesema kuwa itahakikisha inarudi Ikulu hata “kwa bao la mkono” wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25. Katibu wa itikadi na uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati yakubali kuondoa Muswada wa Habari

Dodoma/Dar . Muswada wa Haki ya Kupata Habari uliokuwa usomwe, kwa mara ya pili Jumamosi wiki hii, uko kwenye hatihati baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kukubali uondolewe na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amina Salum Ali ampigia chapuo Dk Shein

Dar es Salaam.  Balozi Amina Salum Ali amesema Rais wa Zanzibar anayemaliza muda wake, Dk Ali Mohamed Shein bado anastahili kupewa nafasi ya kuongoza Wazanzibari. Balozi Amina ambaye ni Balozi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Karenzi Karake akamatwa Heathrow

Mkuu wa upelelezi nchini Rwanda,ambaye alikuwa anasakwa nchini Hispania kwa makosa ya uhalifu wa kivita,sasa amekamatwa mjini London. Kitengo cha habari cha BBC cha BBC Newsnight, kimegundua kwamba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto 48 waokolewa, Ivory Coast

Watoto wapatao 48 wameokolewa katika mashamba ya Kakao walikokuwa wakitumikishwa kusini Magharibi mwa Ivory Coast. Shirika la Kimataifa la Polisi la Interpol limesema pia limewakamata wafanyabiashara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

watu ishirini wafariki dunia Nigeria

Watu ishirini wamefariki dunia kutokana na shambulio la kujitoa muhanga katika soko la wachuuzi wa samaki lililokuwa limefurika watu eneo la Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Watu wengi walikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Alama yawaelekeza wateja kwenye ngono

Kampuni ya chakula Heinz imeomba msamaha baada ya alama ya siri katika mkebe mmoja wa Tomato Ketch Up kuwaelekeza wateja katika mtandao wa ngono. Kampuni hiyo hiyo imesema kuwa alama hiyo ya siri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wananchi wala ubuyu kutokana na njaa-Manyoni

MBUNGE wa Manyoni Mashariki, Kapteni John Chiligati, amesema baadhi ya wananchi jimboni kwake wameanza kula ubuyu kutokana na kukabiliwa na tatizo la njaa. Katika swali lake bungeni jana, Mbunge huyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT-Wazalendo yalia na rasilimali nchi

 CHAMA cha ACT- Wazalendo kimesema kitaleta sera  mahususi na zenye mapinduzi kuhusu utajiri wa nchi unavyopaswa kuwa na faida kwa wananchi wake. Hayo yalisemwa na Kiongozi wa chama hicho, Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yaondoa Muswada Kandamizi wa Habari

 HATIMAYE Serikali imekubali kuuondoa bungeni Muswada wa Sheria ya Upatikanaji wa Habari wa mwaka 2015. Muswada huo, ambao unapingwa na wadau wa habari, ulikuwa usomwe leo bungeni kwa mara ya pili na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwakyembe, Jaji Ramadhani wagongana Tanga

 WAZIRI wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe na Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani, jana walikuwa mkoani Tanga kwa ajili ya kusaka wadhamini ili waweze kukamilisha sharti la kuomba ridhaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu Amtaja Mtu Anayemzuia Kupata Mimba

Ishu ya  Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sugu Atoa Chozi Bungeni kisa Mtoto Wake ……..Naibu Spika Aamuru Mjadala wa...

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amejikuta akiangua kilio bungeni baada ya kutoa hoja binafsi kumjibu Mbunge wa viti maalum wa Singida ‘CCM’ Martha Mlata, aliyemshutumu kwa kumpora mtoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandosya Arejesha Fomu za Urais

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya amerejesha fomu zake za kuwania kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais.   Akizungumza na waandishi wa habari baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashine ya BVR Yaibiwa Jijini Mwanza, wawili watiwa mbaroni

Watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana, waliiba mashine moja inayotumika kwa ajili ya kuandikishia vitambulisho katika daftari la kudumu la wapiga kura (BVR) katika kata ya Kayenze wilayani Magu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC motor controller

Are you familiar with all the applications of 555 timer circuits? If not, we can help you. We all know that for better understanding, the best source is an authenticated book on the subject....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

H Bridge motor control circuit using L298

Description : A bidirectional H bridge DC motor control circuit is shown here. The circuit is based on the IC L298 from ST Microelectronics. L298 is a dual full bridge driver that has a wide operating...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC yaahirisha uandikishaji kwa BVR Dar es salaam

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji jijini Dar es salaa pamoja na mkoa wa Pwani kwa kutumia mashine za BVR lililokuwa linategemewa kuanza rasmi tarehe 4.7.2015 jijini Dar es...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live


Latest Images