Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Diwani Wa CUF Auawa Kwa Kucharangwa Mapanga Na Watu Wasiojulikana

Diwani wa kata ya Kimwani iliyoko Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera, Silvester Miga (CUF) amepoteza maisha baada ya kuvamiwa na kukatwa na mapanga nyumbani kwake, usiku wa kuamkia jana. Kamanda wa Polisi...

View Article


CRDB Yawatoa Hofu Wateja Wake Baada Ya Serikali Kuagiza Akaunti za Taasisi...

(Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu serikali kuhamishia akaunti zote za mapato Benki Kuu. Kulia ni Mkurugenzi...

View Article


Afande Sele Atoa Wosia….Asema Akifa Achomwe Moto Badala ya Kuzikwa

Msanii Afande Sele ambaye anawakilisha mkoa wa Morogoro katika muziki amefunguka na kusema kuwa hataki kuja kuwa binadamu tena bali anahitaji kuwa Malaika. Afande Selle alisema hayo kupitia kipindi...

View Article

Mke wa Kafulila Amlipua Dr. Mwakyembe Kuhusu Sakata La Mabehewa...

Sakata la ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) yanayodaiwa kuwa mabovu liliibuka jana Bungeni na kumuinua Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mugabe bila woga kaeleza yote aliyoambiwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete...

Moja ya vitu ambavyo vilizungumzwa na Rais wa  Zimbabwe   Robert Mugabe  kwenye kikao cha Umoja wa Afrika Addis Ababa  Ethiopia  ni kauli anayodai aliambiwa na Rais mstaafu wa Tanzania  Jakaya Kikwete...

View Article


Tamko La Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini

 Tamko Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini Lililotolewa Na Mhe. Ummy Mwalimu (mb); Waziri Wa Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia, Wazee Na Watoto, Tarehe 1 Februari 2016 Ndugu Waandishi wa...

View Article

Wabunge Wa Upinzani Wagoma Kuteua Wenyeviti PAC Na LAAC

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema kutokana na Spika wa Bunge kuteua kibaguzi wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge,  wabunge wa upinzani hawatashiriki uchaguzi wa wenyeviti wa...

View Article

Mbunge Joseph Msukuma Kasheku Ataka Serikali Ihalalishe Bhangi na Mirungi...

Mbunge  wa  Geita vijijini kwa tiketi  ya  CCM, ndugu Joseph Kasheku (Msukuma)  ameishauri serikali  kuruhusu kisheria kilimo cha Bhangi na Mirungi  ili kuiwezesha  kujipatia  fedha za kigeni...

View Article


A Complete Guide To The 2016 MotoGP Season

If you are a follower of motorcycle racing, then you would be quite aware about the incidents that took place in the 2015 MotoGP season. Many were… Visit the link above to read the full story. [via...

View Article


Sakata La Mauaji Ya Diwani Wa CUF Lachukua Sura Mpya

Mauaji ya kikatili ya Diwani wa Kata ya Kimwani, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, Sylvester Muliga (CUF), yameanza kuibua mambo mazito huku ikielezwa kuwa Ijumaa alikuwa awasilishe hoja kwenye Baraza...

View Article

Wabunge Wa CCM Waungana Na Upinzani Kuibana Serikali Kuhusu Ujenzi Wa Reli,...

Bila kujali itikadi za vyama vyao, wabunge wameukosoa mwongozo wa kuandaa mpango wa Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2016/17, wakihoji suala la ujenzi wa reli ya kati kwa viwango vya kimataifa...

View Article

Mbowe Aanza Kulisuka Baraka Kivuli La Mawaziri

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ametoa mwelekeo wa upangaji wa uongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni na baraza kivuli la mawaziri, huku akionyesha kambi hiyo kuwa tayari kushirikiana na...

View Article

Jela miaka 5 kwa kusafirisha Wahamiaji Haramu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa imewahukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Sh milioni 1.5 kila mmoja, dereva Hansi Mwakyoma (28) na utingo wake, Alex Adam (32) baada ya kukamatwa...

View Article


TRA Yaendelea Kuikaba Koo StarTimes

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema Kampuni ya StarTimes inayouza ving’amuzi kwa ajili ya ‘chaneli’ mbalimbali za televisheni, ikiwamo Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) inafanya biashara ya...

View Article

Bodaboda Agonga Gari Na Kufariki Papo Hapo

DEREVA wa bodaboda, Colnery Mpande (18), mkazi wa Kiluvya Kwa Komba, amekufa baada ya pikipiki aliyokuwa akiiendesha kugonga gari kwa nyuma na yeye kuangukia barabarani na kukanyagwa kichwa na gari...

View Article


Ahadi Ya Rais Mtaafu Kikwete Yaibuliwa Bungeni

Ahadi iliyotolewa na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, Januari 25, mwaka 2008, jana ilizua maswali bungeni baada ya Mbunge wa Dimani (CCM), Hafidhi Ali Tahil, kuhoji ni lini Serikali itaanza...

View Article

Waziri Wa Mambo Ya Nje Augustine Mahiga Ala Kiapo Bungeni Akiwa Mpweke

Kiapo cha uaminifu cha Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Kimataifa, Kikanda na Kimataifa, Dk Augustine Mahiga jana, kilikuwa sawa na viapo vingine, lakini alikosa vionjo kama ilivyokuwa kwa...

View Article


Matukio Bungeni JANA.

 Naibu Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson akiingia Bungeni tayari kuongoza Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.  Mhe. Balozi Dkt Augustine Maiga akuungia Bungeni tayari...

View Article

Article: Re-assess Policy on Private Sector Education

The on-going rift between the Government of Tanzania and owners of private schools over the government’s decision to regulate and dictate tuition and other  fees charged by private schools in the...

View Article

Jaji Mkuu Wa Kenya Ataka Mazungumzo Yaendelee Kumaliza Mzozo Zanzibar

Jaji Mkuu wa Kenya Dk Willy Mutunga ameshauri kuendelea na mazungumzo ya kutafuta suluhu ya kisiasa Zanzibar kwa lengo la kuimarisha Muungano wa Tanzania, huku akionesha hofu kuwa ukivunjika unaweza...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live


Latest Images