Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Mwanasheria Mkuu Akemea Wabunge Kushabikia Vurugu

Mwanasheria  Mkuu wa Serikali, George Masaju amewataka wabunge kusimamia utekelezaji wa sheria wanazotunga na si kuhamasisha uvunjaji wa sheria za nchi. Alitoa kauli hiyo jana wakati akijibu swali la...

View Article


Mahakama Yawaachia Huru Watoto Wa Vigogo Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru watoto wanane wa vigogo waliokuwa wameshitakiwa wakidaiwa kupatiwa ajira katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa kutumia vyeti vya kughushi, baada ya...

View Article


Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Februari 4

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

IPTL Yakanusha Habari Zilizochapishwa na Gazeti La Jamvi La Habari Kwamba...

Makampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan Africa Power Solutions (T) Limited (PAP), kwa masikitiko makubwa tumesoma taarifa mbali mbali zilizochapishwa na gazeti la...

View Article

LHRC Wamtaka Mwenyekiti wa ZEC Kujiuzulu Mara Moja……Chama cha CCK Chamvua...

Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC kimemtaka Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar  Jecha Salum Jecha  ajiuzulu wadhifa huo kutokana na hatua aliyochukuwa ya kufuta uchaguzi na kutangaza...

View Article


Viongozi wa Dini Wazidi Kutofautiana Kuhusu Sakata La Zanzibar…….Sheikh Ponda...

Mgogoro kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi viswani Zanzibar unazidi kupasua nchi, sasa viongozi wa Dini ya Kiislam wametofautiana. Ikiwa ni siku moja baada ya Alhad Mussa Salum ambaye ni Sheikh Mkuu wa Dar...

View Article

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli Atembelea Kambi Ya Wazee Wasiojiweza Na...

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Janeth Magufuli ameziomba na kuzihamasisha taasisi za Serikali na zisizo za Serikali kushirikiana na Serikali kutatua changamoto mbalimbali...

View Article

Polisi Kudhibiti Uporaji Wa Fedha Kwenye Mabenk

(Na Raymond Mushumbusi-MAELEZO) Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Jeshi la Polisi imejipanga kudhibiti uhalifu unaofanywa na na baadhi watu kwa kupora fedha za wafanyabiashara au watu binafsi...

View Article


Mkoa Mpya wa Songwe na Wilaya Mpya Zaanishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Joseph Magufuli ameidhinisha kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya nchini. Akitoa tamko hilo kwa niaba ya Rais Waziri wa...

View Article


Rais Magufuli Asema Yeye si Kichaa wala Dikteta……Aahidi Kuifanyia Mema Nchi...

RAIS Dk. John Magufuli amesema anapochukua hatua yeye si kichaa, si dikteta, si shetani wala si mnyama, ila ni mpole, lakini amefika mahali lazima afanye hivyo kwani ndani ya Serikali yanafanyika...

View Article

Lowassa Aunga Mkono Maamuzi Ya CUF Kutoshiriki Uchaguzi Zanzibar

Ni dhahiri kuwa aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema bado ana ndoto za kuwa rais wa Tanzania baada ya kurudia kauli yake ya kwenda Ikulu, lakini safari hii akisema chama hicho kitaingia Ikulu...

View Article

CT-Scan Iliyopelekwa Muhimbili Ilikuwa Ya UDOM

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto imekiri kwamba mashine ya CT Scan iliyofungwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilikuwa ni ya kituo cha kisasa cha kutolea huduma za...

View Article

Mwenyekiti Wa Kijij Chadema Akataliwa

Wakazi wa Kitongoji cha Misungwi D, Kijiji cha Misungwi wilayani Misungwi, Mkoa wa Mwanza wamemkataa Mwenyekiti wao, Raphael Kimoka (Chadema) kwa tuhuma za kutowasomea taarifa za mapato na matumizi ya...

View Article


Maalim Seif Azungumza na Viongozi wa CUF Kisiwani Pemba…..Asisitiza...

Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF) visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka Wazanzibari na wapenda amani kuondoa shaka na kwamba, atatangazwa kuongoza visiwa hivyo....

View Article

Serikali Yalaani Kitendo Cha Kudhalilishwa Kwa Mtanzania Nchini India

Serikali ya Tanzania imesikitishwa na inalaani vikali kitendo cha udhalilishwaji alichofanyiwa mwanafunzi wa kike wa Kitanzania na Kundi la watu katika jimbo la Bangalore nchini India. Kauli hiyo...

View Article


Mke wa Kafulila atimuliwa nje ya ukumbi wa bunge

Mbunge wa Viti maalum Chadema Jesca Kishoa ametolewa nje ya ukumbi wa bunge na kutakiwa kutohudhuria vikao viwili vya bunge linaloendelea mjini Dodoma. Hayo yamejiri katika mkutano wa 7 wa bunge la 11...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Clinton na Sanders wakabiliana kwenye mdahalo

Image copyright Reuters Image caption Sanders na Clinton ndio wagombea pekee waliosalia chama cha Democratic Hillary Clinton na Bernie Sanders wamekabiliana kuhusu kudhibitiwa na matajiri wa Wall...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rwanda ”inapanga kumpindua Nkurunziza”

Image copyright AP Image caption Baraza la Usalama la UN Ripoti ya siri katika baraza la usalama la Umoja wa Mataifa inaishtumu Rwanda kwa kuwasajili na kuwapa mafunzo wakimbizi wa Burundi kwa lengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanajeshi 120 wa UN kuondolewa CAR

Image copyright AFP Image caption Wanajeshi wanaolinda amani nchini Jamuhuri ya Africa ya kati wanashutumiwa kwa udhalilishaji wa kingono Zaidi ya askari 100 wanaolinda amani wa umoja wa mataifa...

View Article

Waziri Mkuu Aahirisha Shughuli za Bunge Hadi Tarehe 19 Mwezi wa Nne

Serikali katika  kuongeza na kuimarisha uhakika na usalama wa chakula hapa nchini, imepanga kujenga maghala 275 kwa awamu katika sehemu zenye uzalishaji mkubwa wa zao la mahindi ambapo hadi sasa jumla...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live