Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Mawaziri wa awamu ya Tatu, Basil Mramba na Daniel Yona sasa kutumikia kifungo...

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia waliokuwa Mawaziri wastaafu Basil Mramba na Daniel Yona kutumikia adhabu ya kifungo cha nje kwa kufanya usafi katika maeneo ya kijamii ikiwemo Hospitali ya...

View Article


Maandammano ya CHADEMA Kesho Kuelekea Ikulu Yapigwa Marufuku

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku maandamano yaliyopangwa kufanyika hapo kesho na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuelekea Ikulu jijini Dar es salaam...

View Article


January Makamba Awapa Makavu Wapinzani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, amewataka baadhi ya wabunge wa upinzani kuwa na lugha nzuri dhidi ya serikali ili waweze kupata ushirikiano mzuri na viongozi hao pamoja na serikali. Waziri wa...

View Article

Mbowe Atangaza Baraza lake la Mawaziri Bungeni Leo

Kiongozi mkuu wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametangaza baraza lake la mawaziri kivuli leo bungeni mjini Dodoma. Mbowe, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Hai na Mwenyekiti wa Chadema ametaja...

View Article

Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya Februari 6

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article


Mbowe Amtosa Zitto Kabwe Baraza La Mawaziri

Kambi rasmi ya upinzani bungeni, imetangaza baraza lake la mawaziri kivuli ambalo Chama cha ACT Wazalendo, chenye mbunge mmoja, Kabwe Zitto, ndicho hakikuingizwa kwenye baraza hilo. Kiongozi wa kambi...

View Article

Waasi Wa Burundi Wakimbilia Nchini Kushawishi Watanzania Wajiunge Na Vikundi...

BAADHI ya askari waasi wa Burundi, wamebainika kukimbilia nchini na kuanza kushawishi vijana wajisajili ili wajiunge na vikundi vya waasi. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alisema hayo jana alipokuwa...

View Article

Lowassa Afunguka……..Asema Kuitwa FISADI Kulimfanya Ajiondoe CCM Na Kuhamia...

Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema chini ya mwavuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema kusakamwa kwa maneno ya kejeli, vijembe na vitisho, kuitwa gamba na fisadi ndani ya...

View Article


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Asema Rais Magufuli Hana Mamlaka Kikatiba Ya...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amesema Rais John Magufuli hana mamlaka ya kikatiba ya kuingilia masuala ya Zanzibar ukiwamo uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika Machi 20. Hii ni...

View Article


Magazeti Ya Leo Jumapili Ya Februari 7

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Sherehe za Miaka 39 ya CCM: Rais Magufuli Atuma Salamu Kwa Watendaji Wavivu...

Rais John Magufuli amewataka watendaji wote wa serikali kuhakikisha kuwa wanatekeleza ipasavyo matakwa ya ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwa kuwa ndicho kinachoongoza nchi kwa sasa. Magufuli ametoa...

View Article

Polisi Watatu Wafa Ajalini Msafara wa Rais Magufuli

Askari polisi watatu wamefariki dunia na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya gari lao lililokuwa kwenye msafara wa Rais John Magufuli kutoka Singida kwenda Dodoma, kupasuka tairi na kupinduka. Rais...

View Article

Cartoon

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article


Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete Asema CCM Ilisikitishwa Sana na Uamuzi wa...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza rasmi kuachia kiti hicho kabla ya mwezi Februari mwakani, huku akisema CCM imesikitishwa na uamuzi wa ZEC kufuta uchaguzi wa...

View Article

Picha Za Maadhimisho Ya Miaka 39 Ya CCM Kitaifa Mkoani Singida

Msafara wa Mh. Rais John Pombe Magufuli ukiwasili kwenye uwanja wa Namfua mjini Singida tayari kwa kuhudhuria sherehe hizo. Mh.Rais Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa mkoa wa Singida Mh....

View Article


ZAWADI DOTTO AIBUKA MSHINDI WA MASHINDANO YA URIMBWENDE YA "MISS ALBINISM 2016"

Mrimbwende Zawadi Dotto (Pichani) ameibuka kidedea katika Mashindano ya Miss Albinism Kanda ya Ziwa yaliyofanyika usiku wa Kuamkia leo Jijini Mwanza. Miss Zawadi mwenye umri wa miaka 17 (mwanafunzi)...

View Article

Makampuni ya Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kufadhili Michuano ya Kimataifa ya...

Makamu Mwenyekiti wa Balraza la Michezo Zanzibar BMZ  akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kukabidhi fedha kwa timu za JKU na Mafunzo za mchezo wao wa Kombe la CAF inayotarajiwa kufanyika katika Uwanja...

View Article


Triumph Bonneville Forty By Rustom Italy

Rustom have come up with their new Triumph Forty which is a new generation cafe racer. Rustom, which is formed by two pillars, Mattia and Roberto is… Visit the link above to read the full story. [via...

View Article

This BMW R100 From Kingston Customs Comes With A Porsche Turbocharger

This BMW R100 with Porsche turbocharger by Kingston Customs has bought a whole new meaning to custom bikes. After incorporating Porsche bits onto a… Visit the link above to read the full story. [via...

View Article

Rais Magufuli Aomboleza Vifo Vya Askari Waliofariki Dunia Singida

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Ernest Mangu kufuatia vifo vya askari watatu...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live