Mobile Chipsets Parade at MWC 2016
Battery life, cameras and LTE will most likely dominate the smartphone design this year. The common perception about the Mobile World Congress (MWC) show in Barcelona, Spain is that it’s all about...
View ArticleWafanyabiashara ya Sukari Wamchokonoa Rais Magufuli…… Wapandisha Bei...
SASA ni wazi kwamba wafanyabiashara wa sukari nchini wameamua kuanzisha vita na Rais John Magufuli, kwa kuamua kuficha bidhaa hiyo na hivyo kuadimika katika soko na kupanda bei. Hatua hiyo ya...
View ArticleVurugu Kubwa Zaibuka Wakati wa Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam
VURUGU kubwa zimetokea wakati wa Uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam mara baada ya uchaguzi huo kuhairishwa tena kwa mara ya nne leo,huku Jeshi la Polisi likivamia ukumbi wa Karimjee na kuanza...
View ArticleMajambazi Dar es Salaam Yavamia Benki Ya Access….Yaua Mlinzi na Kupora Pesa,...
Majambazi ambao idadi yao haikufahamika wakiwa na mabomu na bunduki za kisasa jana walivamia Benki ya Access tawi la Mbagala ambako walipora viroba vya fedha, kuua mlinzi na...
View ArticleWaziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Bandari ya Mtwara na Kunusa Harufu ya...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua bandari ya Mtwara na kunusa harufu ya ufisadi katika utoaji wa zabuni ya ujenzi wa gati mpya tatu. Waziri Mkuu ambaye alikagua eneo la ujenzi wa gati hizo jana...
View ArticleDC Paul Makonda Aagiza Walimu wa Shule za Serikali Dar es salaam Wapande...
Moja ya jambo ambalo serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi makini wa Mheshimiwa John Pombe Magufuli imelifanya kuwa kipaumbele kikubwa kwenye mipango yake ya kimaendeleo ni suala la uboreshaji wa...
View ArticlePolisi Zanzibar Kuwahoji Watu 34 Wanaotumia Lugha ya Matusi Katika Mitandao...
JESHI la Polisi Zanzibar limetoa tahadhari kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wanaitumia kwa kuwatukana viongozi wa kitaifa, huku likiwa na orodha ya watu 34 ambao wanatarajiwa kuhojiwa zaidi...
View ArticleWaziri Mkuu Kutua Jijini Mwanza Kesho Kutwa
WAKAZI wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake wametakiwa kujitokeza kwa wingi keshokutwa ili kumpokea Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye anatarajiwa kuwasili jijini hapa akitokea jijini Dar es Salaam...
View ArticleRipoti Ya Polisi Kuhusu Tukio la Ujambazi Mbagala: Waliofariki Dunia ni Watu...
Ujambazi wa kutumia vifaa vya kivita umeibuka jijini Dar es Salaam, ukiwemo uliofanyika katika uporaji wa Benki ya Access juzi, ambako majambazi walitumia bunduki za kivita aina ya SMG na mabomu ya...
View ArticleRais Dkt John Pombe Magufuli Awasili Arusha Kuongoza Mkutano Wa 17 Wa Kawaida...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasili Mkoani Arusha ambako pamoja na mambo mengine ataongoza Mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya...
View ArticleAl Shabab yawaua 24 wakitizama Man U-Arsenal
Al Shabab yawaua 24 wakitizama Man U-Arsenal Watu 24 wameuawa mjini Baidoa Kusini mwa Somalia wakitizama mechi baina ya Manchester United na Arsenal baada ya shambulizi lililotekelezwa na Al Shabab....
View ArticleDkt. Kikwete azindua ligi ya mpira wa kikapu – Junior National Basket...
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amekuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Ligi ya Mpira wa Kikapu inayofahamika kama Junior National Basket Association...
View ArticleWatumishi sita wa sekta ya afya wasimamishwa kwa ubadhirifu wa milioni 145
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Christopher Ngubiagai amewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana watumishi sita wa idara ya afya akiwemo Maimu Mganga Mkuu wa Wilaya Dk. Timoth Sumbe, kwa...
View ArticleHabari za Nje na Ndani ya Magazeti ya Leo 29feb2016 Jumatatu.
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleUNFPA yaitaja Tanzania kuwa moja ya nchi tatu zinazoongoza kwa ndoa za utotoni
Imeelezwa kuwa Tanzania ni moja ya nchi ambayo bado inakabiliwa na changamoto ya ndoa za utotoni ambazo husabishwa na mila potufu, elimu duni na umaskini unaopelekea wazazi kuwa na tamaa za kupata...
View ArticleThe Zero Scooter Is The Coolest Blend Of Vintage Scooter With Modern Tech
Spanish Design firm Bel & Bel have brought forth their creativity in making personal mobility interesting and fun. Their idea brings together the… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleTwin Turbocharged BMW R100 From Boxer Metal
The technicalities, the complications and the whole idea of putting a turbo in a custom bike was just being absorbed, when Chris and Rebecca from… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleChris Labrooy’s New Art Explores Auto Elasticity Inspired By Japan
Chris Labrooy is a UK-based artist who has been exploring creativity with the idea of auto elasticity. His previous works on the same principle… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleJeshi la Polisi Zanzibar Latoa Ufafanuzi Kuhusu Madai ya CCM Kutaka Maalim...
Jeshi la Polisi Zanzibar limetoa ufafanuzi kuhusiana na taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuwa jeshi hilo linapanga kumkamata Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi, CUF, Maalim Seif Sharif...
View ArticleKikwete: Nitaachia Uenyekiti wa CCM, Lakini Sitaacha Vikao vya Ndani CCM
Moja kati ya hoja zinazogonga vichwa vya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mabadiliko ya Uenyekiti wa Chama hicho ambayo yatamuwezesha mzee wa Kutumbua Majipu, Rais John Magufuli...
View Article