Sensor,Types of Sensor
Sensor A sensor is a device which is capable of converting any physical quantity to be measured into a signal which can be read, displayed, stored or used to control some other quantity. This signal...
View ArticleVarmeter,Single Phase and Polyphase Varmeter
The instruments which measures the reactive power of the circuit are called varmeter . What is reactive power? The reactive power in the circuit is given by VIsinA . Here there is no need to give...
View ArticleBlavier Test,Murray Loop Test,Varley Loop Test,Fisher Loop Test
Blavier’s test is used to find the earth fault location in an underground cable. The two ends faulty cable are mentioned as sending end and far end respectively as shown in fig 1. In this test, the...
View ArticleMeasurement of Three Phase Power
Various methods are used measurement of three phase power in three phase circuits on the basis of number of wattmeter used. We have three methods 1. Three wattmeters method 2. Two wattmeters method 3....
View ArticlePinda Atoa Ya Moyoni Alivyokatwa Dodoma…….Asema Alitamani Sana Kuwa Rais wa...
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alianguka katika hatua za awali za mbio za urais ndani ya CCM, amesema ameishia kuwa “rais wa fikra”. Pinda, ambaye amekuwa Waziri Mkuu kwa takriban miaka minane,...
View ArticleKIKWETE: Hakuna Mtanzania Aliyekufa kwa Njaa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hakuna mtanzania aliyewahi kufa njaa kwani nchi haikuwahi kuwa na upungufu wa chakula na kusababisha hali ya kuleta athari za kifo kutokana na njaa kwa wananchi...
View ArticleZaidi ya Wafugaji 300 wa CCM Wazichoma Kadi zao na Kuhamia CHADEMA
Zaidi ya wanachama mia 300 waliokuwa chama cha CCM kutoka jamii ya kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli wamezichoma kadi zao za CCM na kujiunga na CHADEMA huku wakidai maamuzi yao...
View ArticleVyama 22 Kushiriki Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka Huu
VYAMA vya siasa vinavyotakiwa kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu baadaye Oktoba 25 mwaka huu ni 22. Taarifa iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa jana Dar es Salaam na kusainiwa na Msajili...
View ArticleNape Nnauye Awatuhumu UKAWA Kwa Kutengeneza Kadi Bandia za CCM
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amedai kuwa chama hicho kimebaini mchezo mchafu unaotaka kufanywa na Ukawa wa kutengeneza kadi bandia za chama...
View ArticleMagufuli ahimiza umoja na mshikamano kwa WanaCCM
Dkt John Pombe Magufuli kwa pamoja akicheza wimbo wa “Adinselema” uliokuwa ukiimbwa na wanachama hao mara baada ya kumpokea na kuamsha shamra shamra na shangwe za hapa na pale. Pichani kulia ni Mke wa...
View ArticleMwanajeshi wa Rwanda auwa wenzake CAR
Wizara ya ulinzi ya Rwanda inasema kuwa mwanajeshi wake mmoja katika kikosi cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati amewapiga risasi na kuwauwa wenzake wane kutoka Rwanda. Wanyarwanda...
View ArticleZaidi wanafunzi 100 wapewa semina ya kuwajengea uwezo kuanza safari ya masomo...
Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL) ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Abdulmaliki Mollel akitoa maelezo katika semina ya kuwajengea uwezo wazazi na wanafunzi wanaokwenda kusoma Vyuo...
View ArticleWaliojitoea Chadema wapeta ACT Wazalendo
Mwanahamisi Muyinga. Makada wa Wawili wa Chadema Mbunge viti maalumu anayemaliza muda wake Chuki Abwao na aliyekuwa mmoja wa watia nia Jimbo la Kalenga aliyeshindwa kwenye kura za maoni wameibuka...
View ArticleMO anogesha tamasha la Simba Day
Mgeni rasmi katika Tamasha la Simba Day, Mohammed Dewji akichukua taswira mbalimbali kwenye majukwaa yaliyofurika mashabiki na wanachama wa Simba katika tamasha hilo lililofanyika kwenye uwanja wa...
View ArticleRais Kikwete azinduza kivuko cha MV Mafaniko na kuzindua mradi wa nyumba za...
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ndugu Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30 za...
View ArticleSuzuki Unveils Special Commemorative Edition GSX-R1000
While this is not the definitive GSX-R1000 upgrade for 2016, Suzuki launched a special edition of the motorcycle at the Indianapolis Speedway during… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleWalichokiamua CUF Baada ya Profesa Lipumba Kujiuzulu
SIKU Chache kupita baada ya Profesa Ibrahimu Lipumba kutangaza kujiuzulu nafasi ya uwenyekiti ndani ya Chama cha wananchi CUF, hatimaye Chama hicho kimeunda kamati ya mda itakayodumu kwa miezi sita...
View ArticleProfesa Lipumba Amfananisha Lowassa na ‘Kibaraka’ wa CCM……Asema Uchaguzi wa...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kina wagombea wawili wanaowania kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka...
View ArticleMnyika Asema Kampeni za UKAWA Zitazinduliwa na Dr. Slaa
Baada kimya cha muda mrefu hatimaye Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilibrod Slaa, anatarajiwa kufungua pazia la kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)....
View ArticleRais Kikwete Awaaga Wananchi Wa Mtwara….Asema Mtwara ndio Muhimili Mpya wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewataka wanasiasa mkoani Mtwara kuacha tabia za kuwapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo yasiyo na ukweli, na badala yake...
View Article