Quantcast
Channel: Paul Joseph – AutomobileHeat
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake na Watoto Waanza Kuodoka Mkoani Mtwara Wakihofia Kutokea Kwa Vurugu...

Shirika  la  utangazaji  la  Ujererumani,DW  limeripoti  leo  mchana  kuwa idadi kubwa ya watu  wameanza kuondoka  mkoani Mtwara  wakihofia hali ya usalama wakati wa uchaguzi.   Kwa mujibu wa Dw ,watu...

View Article


Simple Ways to Save the Environment

Creating designs from recycled supplies is among the finest affordable hobbies there is. It’s really a great way to invest time together with your children, also. Generating recycled products can help...

View Article


How-to Write in Third Person

Nowadays with university years coming to a detailed and graduates putting their lids inside the air, wheredo Latinos in the La Unified School Center list? Fewer than 40 percentage of Latinos graduated...

View Article

Scholarships with June 2015 deadlines

by: Jason Tarasi –> –> Creating articles and your internet advertising value add capacity together. You’ll find a great number of reasons for to writing articles included in your web marketing...

View Article

Making An Internet Doctorate in Degree

same day essays Have you been fearful of wisdom teeth removal? Should you be honest with yourself, chances are you feel at the least slightly of concern of having your wisdom teeth removed in the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tundu Lissu ‘anusa’ bao la mkono Singida Mashariki

Mgombea ubunge wa jimbo la Singida mashariki kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu  Antiphas Mughwai Lissu, amesema kwamba anahofia uchaguzi mkuu  hautakuwa huru na wa haki akidai kwamba Jeshi la Polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Mahakama Yatoa HUKUMU Kesi Ya Kukaa Mita 200 Baada Ya Kupiga Kura

Mahakama Kuu Dar leo imetupilia mbali shauri la tafsiri ya sheria ya mpigakura kukaa au kutokaa umbali wa mitaa 200 kutoka eneo la kupiga kura.   Kwa mujibu wa majaji waliotoa maamuzi hayo wamesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Atoa Onyo kwa NEC na Polisi Mchana Huu……Sumaye Asema CCM Wamejipanga...

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Jeshi la Polisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za MAFURIKO Ya Lowawasaa Ruaha, Mikumi ni Balaa

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Kulia) akiambiwa jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Magufuli Ahitimisha kampeni za Urais Jangwani Jijini Dar.

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Awapigia Kampeni Wabunge na Madiwani wa CCM LEO

Kazi  yetu  ni  kupekua  na  kukujulisha  kinachoendelea  hapa  Tanzania  hasa  wakati  huu  wa  kampeni  za  uchaguzi. Leo  mheshimiwa  Lowassa  alikosea   kidogo  na kujikuta  akiwanadi  wagombea...

View Article

Tukumbushane: Kinondoni Iliwahi Kuwa Na Mbunge Mzungu..!

Ndugu zangu, Ni enzi za Mwalimu, aliitwa Derek Bryson, pichani ni wa kwanza kushoto. Alipata pia kuwa waziri wa kilimo na ushirika. Ni imwasisi wa mpango wa kutenga viwanja Sinza ikiwamo miundo mbinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nasoma Utafiti Ulioongozwa Na Profesa Malyamkono..

Ni wa miaka ya nyuma. Utafiti huu unajibu maswali mengi ya msingi hata kwa wakati huu.Katika wakati kama huu, wachambuzi wa habari wawatafute watu wa aina ya Profesa Maliyamkono watoe uzoefu wao. [via...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Mexico asema kimbunga Patricia bado ni hatari

Kimbunga hicho hata hivyo hakijasababisha uharibifu mkubwa kama ilivyohofiwaRais wa Mexico ameonya kuwa Kimbunga Patricia bado kinaweza kusababisha mafuriko na maporomoko ya ardhi huku mvua kubwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba Ya Mh. Edward Lowassa Aliyoitoa Leo Tarehe 24 Kwenye Viwanja Vya...

 NDUGU •Watanzania wenzangu •Ndugu wanachama, marafiki na wapenzi wa CHADEMA •Ndugu Viongozi wakuu wa kitaifa na wanachama wa vyama vyetu vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). •Ndugu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kuhusu Uchaguzi wa Rais, Wabunge na...

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Vijana Chadema kata ya Sirari na kuhamia chama cha CCM, Weng’ari Mang’era (26) amemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati wakimpokea mgombea ubunge wa Tarime...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari Handeni watishia kugoma kusimamia vituo vya kupigia kura

Askari mgambo 114 wilayani Handeni wametishia kugoma kwenda kusimamia vituo vya kupigia kura kutokana na kutolipwa fedha zao kama walivyokubaliana na mkurugenzi. Wakiongea kwa nyakati tofauti leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kingunge Atoa Maneno Mazito Kwa CCM Na Kikwete

Aliyekuwa kada mkongwe wa CCM, mzee Kingunge Ngombale Mwiru amekishukia chama chake hicho cha zamani na viongozi wake wa sasa kwa madai kuwa ‘kimechanganyikiwa’. Akiongea leo katika mkutano wa kufunga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Haji Duni agundua janja ya CCM,waliopangwa kuchakachua matokeo watajwa

Mgombea Mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA,Haji Duni amesema kuwa wamegundua njama iliyopangwa na Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Tume ya uchaguzi kwamba kura zikitoka kwenye vituo...

View Article
Browsing all 2247 articles
Browse latest View live