JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu alipowasili Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini jijini Dar es salaam leo Oktoba 20, 2015 tayari kukabidhi...
View ArticleSlovenia yakabiliwa na ongezeko la wahamiaji
Wahamiaji wakisubiri kuingia Slovenia, Oktoba 19, 2015,Trnovec. Na RFI Slovenia, moja ya nchi ndogo za Ulaya, inakabiliwa na mgogoro wa wahamiaji, baada ya kuzidiwa na “wingi” wa maelfu ya wahamiaji...
View ArticleJanuary Makamba Ataja Sababu Tisa kwanini CCM itashinda katika Uchaguzi Mkuu...
Tarehe 25 mwezi huu Oktoba, Watanzania watapiga kura kumchagua rais wao wa tano, wabunge na madiwani. Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu umekuwa na msisimko mkubwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mfumo wa siasa za...
View ArticleSMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua...
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni...
View ArticleHafla ya kuwaaga wafanyakazi wastaafu wa ZSTC, Chakechake, Pemba
MKURUGENZI Mwendeshaji wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar ZSTC, Mwanahija Almasi Ali, akizungumza kwenye hafla ya kuwaaga wafanyakazi wastaafu wa shirika hilo Pemba, sambamba na Waziri na...
View ArticleMama Mwanamwema Shein Azungumza na Viongozi wa UWT Wilaya ya Mjini Unguja...
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleKawasaki Z125 Is the Honda Grom’s New Competition
The day of the Honda Grom living up the monopoly are about to get over as some spy shots of a certain Kawasaki dubbed as the Z125 have just started… Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleNew Suzuki Gladius Naked Rumoured For EICMA 2015
With the 2015 EICMA motor show just a month away, there are rumours that Suzuki might be bringing in an properly upgraded Gladius to the show floor…. Visit the link above to read the full story. [via...
View ArticleHOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MATHIAS CHIKAWE (Mb) ALIYOTOA...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es salaam.Picha na...
View ArticleFull Time ya Tanzania Prisons Vs Simba October 21
Klabu ya Simba ambayo Jumamosi October 17 ilicheza na klabu ya Mbeya City ya jijini Mbeya katika mchezo ambao Simba hawakuwa na rekodi nzuri dhidi ya Mbeya City kwani ilikuwa haijawahi...
View ArticleMtoto aliyekamatwa na saa wakidhani ni bomu amekaribishwa Ikulu ya Obama.....
Unamkumbuka Ahmed Mohamed mtoto kutoka Dallas, Texas Marekani aliyekamatwa na polisi baada ya kupeleka shule saa iliyodhaniwa kuwa ni bomu? Yes, Ahmed aliweka headlines nyingi sana Marekani...
View ArticlePicha 16 Za MAFURIKO Ya Lowassa Huko Tanga- Jana Oktoba 21
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akipunga mkono wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Indian Ocean katika mkutano wa kampeni mjini Tanga jana Jumatano...
View ArticlePicha 11 za Mafuriko Ya Magufuli Jijini Dar Es Salaam-Oktoba 21,2015
Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiwasalimia baadhi ya wakazi wa mji wa Kigamboni,waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika jana uwanja wa Machava Kigamboni . Baadhi ya wananchi...
View ArticleKesi Ya Kukaa Mita 200 Ni Kaa La Moto…….Mawakili Watoana Jasho Kwa Vifungu...
Mvutano mkali wa hoja za kisheria ulitikisa kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana wakati Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Ackson alipoiomba mahakama itupilie mbali maombi ya...
View ArticleSimple Approaches To Conserve the Environment
Reflective essay writing is really an element of composition that is English which is a touch simpler to compose from other forms of dissertation writing somewhat. A reflective composition relies on...
View ArticleSentensi 10 za mke wa Marehemu kuhusu ajali, picha za Marehemu na kifo cha...
October 22 2015 ni wiki ya tatu zimepita tangu aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) Mchungaji Christopher Mtikila afariki kwa ajali ya gari ndogo eneo la Msolwa , Chalinze Mkoa...
View ArticleBaada ya mashabiki wa Man City kuzomea wimbo wa UEFA, klabu yao kukumbana na...
Klabu ya Manchester City ya Uingereza ambayo usiku wa October 21 ilicheza mechi dhidi ya klabu ya Sevilla katika uwanja wake wa nyumbani wa Etihad . Kabla ya kuanza kwa mchezo huo ambao klabu...
View ArticleMatokeo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 22
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea tena leo October 22 kwa michezo minne kupigwa katika viwanja vinne, JKT Ruvu walikuwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro katika uwanja wa Karume...
View ArticleMkuu wa Jeshi (IGP) Apiga Marufuku Mikusanyiko ya Watu siku ya Kupiga Kura
Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura kwa madai kwamba imekuwa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani. Pia, Jeshi hilo limesema mikusanyiko ya aina yoyote...
View ArticleNape Nnauye Apata AJALI Mbaya Ya Gari Akitokea Dar Kwenda Lindi
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam. Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa...
View Article