Maalim Seif Sharif Hamadi Arejea Zanzibar Baada ya Kukaa Mapumzikoni Serena...
Siku chache baada ya Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kuapishwa baada ya kushinda uchaguzi wa marudio uliosusiwa na baadhi ya vyama vya upinzani, Katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF), Maalim...
View ArticleAnne Kilango Malecela Akomaa na Watumishi Hewa
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Anne Kilango Malecela ametoa siku sita kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tatu za Ushetu, Msalala na Kahama zilizopo wilayani Kahama kuhakikisha wanawakilisha kwake majina ya...
View ArticleMkuu wa Mkoa wa Arusha Adai Yeye Ndo Mwanzilishi wa Wazo la Kuhakiki Silaha...
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amesema kazi ya kuhakiki silaha iliyoanza kwa wakazi wa Dar es Salaam, ilishaanza mkoani mwake takribani miezi miwili iliyopita na kwamba ndiyo maana matukio ya...
View ArticlePicha 15: Barabara ya Mwananyamala Dar, imefikia hapa baada ya RC Makonda...
Siku ya March 11 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alifanya ziara ya kutembelea katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Kinondoni kujionea kero za uharibifu wa miundombinu ikiwepo...
View ArticleUsitarajie kumuona Ibrahimovic Man United kama mambo yataendelea kuwa hivi …
March 25 starsport wamerudisha jina la Zlatan Ibrahimovic kwenye headlines za kutaka kujiunga na klabu ya Man United ya Uingereza akitokea Paris Saint Germain ya Ufaransa . Jina la Zlatan safari hii...
View ArticleMichezo Misri wametoka salama Nigeria, kazi imebakia kwa Taifa Stars Septemba...
Bado kivumbi cha mataifa ya Afrika kuendelea kuwania nafasi ya kuelekea fainali za AFCON 2017 Gabon kinaendelea, March 25 2016 hatua ya Makundi ya kuwania kufuzu michuano hiyo iliendelea kama...
View ArticleSuarez aisawazishia Uruguay dhidi ya Brazil
Luis Suarez alifunga bao la pili na kuisawazishia Uruguay katika kipindi cha pili katika droo ya 2-2 dhidi ya Brazil katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa tangu apigwe marufuku kwa kumng’ata...
View ArticleRonaldo ashindwa na penalti
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo alikosa penalti kwa mara ya pili mfululizo huku timu yake Portugal ikipoteza nyumbani dhidi ya Bulgaria katika mechi ya kirafiki. Marcelinho alifunga bao...
View ArticleZika: Marekani yawashauri wanaume na wanawake
Mama aliyejifungua mtoto mwenye maradhi ya Zika Idara ya Afya nchini Marekani imetoa ushauri mpya kuhusiana na uja uzito na virusi vya Zika. Idara hiyo kwa sasa inapendekeza kuwa...
View ArticleUsmanov: Arsenal ”inamuhitaji” Arsene Wenger
Arsenal ”inamuhitaji” Arsene Wenger hivyobasi mkufunzi huyo wa The Gunners ana uwezo wa kumchagua mrithi wake wakati atakapoondoka,kulingana na mwanahisa mkuu wa klabu hiyo Alisher Usmanov. Wenger pia...
View ArticleMagazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 27 2016 kwenye, hardnews na michezo
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleSerikali Ya Tanzania Haina Mpango Kwa Kuteketeza Meno Ya Tembo Yaliyohifadhiwa
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kuwa kwa sasa haina mpango wowote wa kuteketeza meno ya tembo yaliyohifadhiwa ambayo yametokana na vitendo vya ujangili na vifo asilia vya tembo. Tamko hilo...
View ArticleMtoto wa Siku Moja Aibwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando
Mtoto wa siku moja ameibwa katika mazingira ya kutatanisha katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, akiwa pembeni mwa mama yake aliyekuwa amelala, mwenye umri wa miaka 16. Akizungumzia uporaji huo jana,...
View ArticleFedha za Emmanuel Okwi kutoka Etoile du Sahel bado ni ishu Simba
Baada ya mvutano wa muda mrefu wa Simba kufuatilia fedha zake za usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda Emmanuel Okwi kutoka katika klabu ya Etoile du Sahel , kitu ambacho kilipelekea...
View ArticleSanders amshinda Clinton Washington
Image copyright AFP Image caption Sanders amshinda Clinton Washington Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani katika chama cha Democtrats bwana Bernie Sanders ameshinda majimbo mengine mawili katika...
View ArticleWa-Mexico wachoma mfano wa ‘Trump’
Raia wa Mexico wanaosherehea sikukuu ya pasaka wamekuwa wakichoma sanamu za mgombea wa kiti cha urais kupitia chama cha Republicans Donald Trump. Mojawapo ya tukio hilo la kushangaza limefanyika...
View ArticleFatma Karume: Dk Shein Siyo Rais wa Zanzibar
MJUKUU wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, amepinga hatua ya kumtangaza Dk. Alli Mohammed Shein, kuwa rais Visiwani, anaandika Pendo Omary. Fatma Amani Abeid Karume,...
View ArticlePicha 16: Muonekano wa barabara za Jiji la Mbeya
Najua kabisa kuna watu wangu wao ni damdam na kujionea picha za miji na majiji mbalimbali, basi jukumu langu kila siku ni kuhakikisha naifanya kazi ya kuzikusanya zote kama hizi na kuzisogeza hapa...
View ArticleBaada ya timu ya taifa ya Chad kujitoa AFCON 2017, haya ndio maamuzi ya CAF
Jumatatu ya March 28 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilikuwa inajiandaa kushuka dimbani kucheza mchezo wake wa nne wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika 2017 dhidi ya Chad , habari...
View ArticleEL CLASICO Ipo njiani ni april 2 ndani ya nou camp
APRIL 2 Wanasema hatumwi mtoto dukani katika nchi ya hispania,ni ligi maarufu inayoitwa La liga ni watawala wakuu wa nchi hiyo barcelona na maadui zao real madrid.Katika mechi ya mwisho timu ya...
View Article